Sunday 19 April 2015

Tazama mitindo mbalimbali ya magauni wanayovaa maharusi


Gauni hili anatakiwa kuvaa bi harusi aliyekuwa mwembamba na mwenye urefu wa wastani pia gauni hili wanavaa sana maharusi wakristo wanapoenda kufunga ndoa kanisani.
Vazi hili linampendeza mtu yoyote ila asiwe mnene awe mwembamba na mrefu wa wastani pia linavaliwa kwenye harusi.

No comments:

Post a Comment